Genesis 26:33
33Naye akakiita Shiba, ▼▼ Shiba kwa Kiebrania maana yake ni Saba.
mpaka leo mji huo unaitwa Beer-Sheba. ▼▼ Beer-Sheba maana yake ni Kisima cha wale saba, yaani wale kondoo saba ambao Ibrahimu aliwatoa kama ushahidi kati yake na Abimeleki.
Copyright information for
SwhKC